Ratiba ya Tukio

31st July, 2026
Kilimo Marathon

Mgeni Rasmi
Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb.), Waziri wa Kilimo. Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Mb.), Waziri wa Mifugo na Uvuvi.
Mhe. Rosemary Sitaki Senyamule, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.
Mhe. Halima Dendego, Mkuu wa Mkoa wa Singida.
1st – 8th August, 2026
Ufunguzi wa Maonesho

Mgeni Rasmi
Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2nd August, 2026
Kutembelea Mabanda ,Makongamano ,Siku ya Horticulture

Mgeni Rasmi
Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), Waziri wa Fedha. Mhe. Mahmoud T. Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mhe. Judith Salvio Kapinga (Mb), Waziri wa Viwanda na Biashara.
Mhe. Abdalah Hamis Ulega (Mb), Waziri wa Ujenzi.
3rd August, 2026
Siku ya Ushirika ,Makongamano ya Ushirika na ,Uwezeshaji kifedha katika Sekta ya Kilimo

Mgeni Rasmi
Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
4th August, 2026
Kutembelea Mabanda ,Makongamano ,Siku ya Vijana/ Wanawake na Dinner Galla ,Mazungumzo ya Biashara

Mgeni Rasmi
Mhe. Joel Arthur Nanauka, Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais, (Maendeleo ya Vijana). Mhe. Dkt. Dorothy O. Gwajima (Mb.), Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum.
Dr. Natu El-maamry Mwamba, Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha.
Dkt. Hassan Habbass, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
5th August, 2026
Paredi ya Mifugo,Onesho la Ulinzi wa rasilimali za Uvuvi ,Siku ya Nyamachoma

Mgeni Rasmi
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Mb.),
Waziri wa Mifugo na Uvuvi.
6th August, 2026
Kutembelea Mabanda ,Kongamano la Huduma za Ugani ,Utalii wa Kilimo

Mgeni Rasmi

Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), Waziri wa Maliasili na Utalii.
Mhe. Mizengo K. Pinda (Mb), Waziri Mkuu Mustaafu na Mwenyekiti wa Baraza la Rais la Ushauri na Usimamizi wa Masuala ya Chakula na Kilimo.
Dkt. Richard Stanslaus Muyungi, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira.
Mhe. Prof. Riziki S. Shemdoe (Mb), Waziri wa Nchi, OWM- (TAMISEMI)
Dkt. Tausi Mbaga Kida, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji -Mipango.
Balozi Waziri Rajab Salum, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara.
Mhe. Deogratius John Ndejembi (Mb), Waziri wa Nishati.
7th August, 2026
Kutembelea Mabanda ,Kongamano la fursa ya uwekezaji kwenye Sekta ya Kilimo,Siku ya zana za kilimo

Mgeni Rasmi
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.
Mhe. Suleiman Masoud Makame, Waziri wa Kilimo Umwagilaji, Maliasili na Mifugo - Zanzibar.
Mhe. Juma H. Aweso, Waziri wa Maji.
Mhe Paschal Katambi (Mb) Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Dkt. James P. Mataragio, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati
Mhe. Ally Senga Gugu, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani.
8th August, 2026
Farmers, Livestock keeper’s ceremony and closure of the event

Mgeni Rasmi
- Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan